Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MANARA AFUATA UPAKO KWA MWAMPOSA
    KITAIFA

    MANARA AFUATA UPAKO KWA MWAMPOSA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 4, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    manara
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mgombea Udiwani Kata ya Kariakoo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Haji Manara, amekutuna na kufanya kikao na Mtumishi wa Mungu kutoka Kanisa la Arise and Shine International, Mtume Boniface Mwamposa leo, Septemba 3, 2025.

    Kikao hicho kimefanyika Jijini Dar es Salaam na kimekuwa na lengo la kuendeleza ushirikiano kati ya viongozi wa kisiasa na wa kidini, hasa katika masuala yahusuyo maendeleo ya Jamii na ustawi wa wananchi wa Kariakoo na Tanzania.

    Wiki iliyopita Manara alikutana na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Bin Zubeir na Mjumbe wa Baraza la Maulamaa nchini, Sheikh Hassan Chizenga ambao walimuombea Dua.

    Manara amemshukuru Mtume Mwamposa kwa mapokezi na kwa kuonesha utayari wa kushirikiana katika kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii.

    Mtume Mwamposa amepongeza juhudi za mgombea huyo na kuahidi kuendelea kushirikiana naye katika kuhakikisha ustawi na maendeleo ya wananchi, hasa kwa kuhakikisha jamii inakuwa na maadili na nidhamu.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleAUDIO Paul Clement – In You MP3 DOWNLOAD
    Next Article HAZARD ANAAMINI MESSI NDIO MPIGA CHENGA ZAIDI KULIKO YEYE

    Related Posts

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    April 12, 2026

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.