Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MAGORI AAHIDI KUIRUDISHA HESHIMA YA SIMBA
    KITAIFA

    MAGORI AAHIDI KUIRUDISHA HESHIMA YA SIMBA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 9, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Magori
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Crecentius Magori, amesema yeye na wenzake wanakwenda kurudisha heshima ya klabu hiyo nchini na kuendelea kuwa ya kutisha na kuogopwa katika soka la Afrika.

    “Simba ni klabu kubwa sana, ni klabu ambayo haina mfano Tanzania na Afrika Mashariki na Kati. Mimi na mwenzangu hapa mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu, huyu bwana ni rafiki yangu sana, watu wanasema maneno mengi, achana na meno, achana na mambo yote, tunakwenda kufanya kazi kubwa na ya maana kwa ajili ya Simba.

    “Kama kweli wewe ni Simba, tunashinda wote, tukikwama ni wote, hakuna kusema fulani amekwama. Nawaomba wanachama kuanzia sasa tuwe kitu kimoja, tupambane. Na yule ambaye hataki tuwe kitu kimoja kuisapoti Simba, tutammulika, ataonekana, atabaki wazi na atakimbia mwenyewe.”

    Kwa hiyo ndugu zangu mikakati ni mingi, mapambano ni makubwa, lakini kwa kazi kubwa tutakayofanya, kwa kudra za Mwenyezi Mungu tutafanikiwa kwa pamoja kuivusha Simba yetu, kurudisha heshima yake kwenye soka la Tanzania na kuendelea kutisha Afrika nzima,” alisema.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleDKT. BITEKO AHIMIZA WANAMICHEZO KUCHUNGUZA AFYA ZAO
    Next Article KINDA WA AJAX AVITOA UDENDA VILABU VIKUBWA DUNIANI

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.