Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » KOCHA FADLU AFUNGUKA MIPANGO YAKE KWENYE NGAO YA JAMII
    KITAIFA

    KOCHA FADLU AFUNGUKA MIPANGO YAKE KWENYE NGAO YA JAMII

    ChikaoBy ChikaoSeptember 13, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    fadlu
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Kocha wa Simba SC ameweka wazi msimamo na mikakati ya kikosi chake kuelekea mchezo muhimu wa ngao ya jamii dhidi ya Young Africans (Yanga).

    Akizungumza baada ya mapumziko mafupi, kocha huyo amesema kikosi chake kimeanza maandalizi mapya kwa mchezo huo wa heshima kabla ya kuelekeza nguvu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

    “Tumepumzika jana na kisha leo tunaanza maandalizi ya mechi ya Yanga. Huo ni mtihani mkubwa, ni fainali, ni mechi ya heshima. Baada ya hapo tutaelekeza nguvu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Tutafanya uchambuzi, mikutano binafsi na ya pamoja, ili kuweka mambo sawa,” alisema kocha.

    Aidha, amesisitiza umuhimu wa mashabiki kuendelea kutoa sapoti kubwa, akibainisha matarajio ya timu kupata kibali cha kutumia Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa mechi za nyumbani ili mashabiki wengi waweze kushuhudia michezo yao.

    “Naamini Ligi Kuu itaturuhusu kucheza mechi zetu za nyumbani kwa Mkapa kwa sababu mashabiki wengi zaidi wataweza kutuona. Tunahitaji msaada wao zaidi wiki ijayo, nusu ya uwanja uwe mwekundu. Hizo ndiyo mechi kubwa zinazohitaji umoja wa mashabiki na wachezaji,” aliongeza.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMIKÊL OBI AUNGA MKONO OKOCHA KUWA RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA NIGERIA
    Next Article HILI NDIO TAMASHA LILIPENDEZA ZAIDI, KATI YA SIMBA DAY NA YANGA DAY

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.