Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป HUU HAPA UKWELI WA FADLU KUONDOKA SIMBA
    KITAIFA

    HUU HAPA UKWELI WA FADLU KUONDOKA SIMBA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 19, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    fadlu kuondoka simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mchambuzi nguli wa soka nchini, Saleh Jembe kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika taarifa kuhusiana na Kocha wa Klabu ya Simba, Fadlu David’s kuhusu kuondoka klabuni hapo.

    “Hii ndio picha ya mwisho ya Kocha Fadlu David’s ambaye ameamua KUACHIA NGAZI SIMBA”

    “Taarifa zinaeleza aligoma hata kupanda ndege kwenda Botswana”

    “Alipigiwa simu na MO (Dewji) akamsihi asifanye hivyo, ndio akapanda ndege na kufika huko KATANGAZA KUACHANA NA Simba,” kilieleza chanzo, ameandika Saleh Jembe.

    Je, Simba wataweza kumbakisha Fadlu David’s Msimbazi?

    Mpaka sasa bado hakuna taarifa rasmi za kutoka ndani ya klabu ya simba juu ya ukweli wa taarifa hiyo hivyo tuendelee kusubiri na kupitia Sokaleo utapata habari hiyo kwa uharaka pindi tu ikifahamika ukweli wake.

    BONYEZA HAPA KU DOWNLOAD NYIMBO MPYA ZA GOSPEL KILA SIKU

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHABARI KUBWA KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA I9, 2025
    Next Article YANGA SC KAMILI KIMATAIFA KUWAKABILI WILLIETE

    Related Posts

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    April 7, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    MBAPPE: NITACHEZEA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.