Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป BARCELONA KUMNUNUA KANE KWA EURO MILIONI 50
    KITAIFA

    BARCELONA KUMNUNUA KANE KWA EURO MILIONI 50

    ChikaoBy ChikaoSeptember 21, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    kane
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Klabu ya Barcelona inataka huduma ya nahodha wa Uingereza Harry Kane, 32, ambaye ameifungia Bayern Munich mara 95 katika mechi 102 za ligi. Kane anaonekana kama mbadala wa mshambuliaji Robert Lewandowski.

    Vyanzo vya habari nchini Uhispania vinadokeza kuwa Bayern wanaweza kuwa tayari kumuuza Kane kwa kitita cha Euro milioni 40 mpaka 50.

    Ikumbukwe mkataba wa Kane na Bayern utatamatika 2027, lakini thamani yake pia itaweza kushuka wakati huo kutokana na umri wake.

    Barcelona Bayern Munich
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKOCHA MAN U ASEMA HATA PAPA HAWEZI MFANYA ABADILI MFUMO
    Next Article MAJIBU KUHUSU USHINDI WA SIMBA UGENINI KUWA NI BAHATI

    Related Posts

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    April 12, 2026

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.