Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป YANGA SC YAANZA KUISOMA SIMBA SC KUELEKEA KARIAKOO DABI
    KITAIFA

    YANGA SC YAANZA KUISOMA SIMBA SC KUELEKEA KARIAKOO DABI

    ChikaoBy ChikaoAugust 25, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Yanga SC
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC wameanza kupiga hesabu kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC.

    Mchezo huo unasubiriwa kwa shauku kubwa unatarajiwa kuwa na ushindani ndani ya dakika 90 kwa wababe hao katika uwanja kusaka ushindi.

    Inaelezwa kuwa tayari Kocha Mkuu wa Yanga SC, raia wa Ufaransa, Romain Folz amekabidhiwa video za michezo ya mwisho ya Ligi Kuu Bara ya wapinzani wao Simba SC ambao kwa sasa wapo nchini Misri kwa kambi kuelekea msimu mpya.

    Kwa mujibu wa chanzo kutoka ndani ya Yanga SC, video zaidi ya mbili tayari amepatiwa kocha huyo haraka tayari ameanza kuzipitia pamoja na benchi lake jipya la ufundi kuelekea msimu mpya.

    Chanzo hicho kilisema kuwa lengo la kupitia video hizo ni kwa ajili ya kuziona mbinu za Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids na wachezaji hatari wa kuchungwa kabla ya kukutana nao Ngao ya Jamii Septemba 16 2025.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 25 AGOSTI 2025
    Next Article JONATHAN SOWAH KUIKOSA KARIAKOO DABI, UKWELI WOTE HUU HAPA

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.