Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » YANGA SC BADO WAPO SOKONI KUSAKA WACHEZAJI WAPYA
    KITAIFA

    YANGA SC BADO WAPO SOKONI KUSAKA WACHEZAJI WAPYA

    ChikaoBy ChikaoAugust 9, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    KAMA unadhani Yanga SC mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara wamemaliza usajili, bado kazi haijaisha kwa kuwa kuna wachezaji wengine wapya bado hawajatambulisha.

    Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa mara 31 wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC hii ni ligi namba nne kwa ubora Afrika.Ni pointi 82 Yanga SC ilikusanya baada ya mechi 30 mafasi ya pili ipo mikononi mwa Simba SC yenye pointi 78 kibindoni.

    Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amesema kuwa bado hawajamaliza usajili kwa msimu wa 2025/26. Tayari Yanga SC imetambulisha wachezaji 9 wapya akiwemo beki wa kushoto Mohamed Hussen Zimbwe Jr, Offen Chikola.

    Zimbwe Jr alikuwa nahodha wa Simba SC msimu wa 2024/25. Msimu wa 2025/26 atakuwa kwenye changamoto mpya ndani ya kikosi cha Yanga SC ambacho kimeweka kambi Dar na kinatarajiwa kuelekea Rwanda kati ya Agosti 13 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayor Sportt.

    Kamwe amesema: “Bado hatujamaliza usajili na kuna wachezaji kama watatu hivi tutamalizana nao na kuwatambulisha. Tunahitaji kuwa na kikosi imara chenye ushindani mkubwa hilo lipo wazi.”

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMAMOSI TAREHE 09-08-2025
    Next Article JONATHAN SOWAH ATUMA UJUMBE KWA WANASIMBA

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.