Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE
    KITAIFA

    NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE

    ChikaoBy ChikaoAugust 19, 202511 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Neymar
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Nyota wa Brazil na klabu ya Santos Neymar Jr usiku wa kuamkia leo alitoka uwanjani akimwaga machozi baada ya kukumbana na kipigo kikubwa zaidi kwenye maisha yake ya soka klabu yake ikikumbana na kipigo cha magoli 6-0 dhidi ya Vasco da Gama kwenye mchezo wa ligi kuu Nchini humo.

    Akizungumza baada ya mchezo huo nyota huyo mwenye miaka 33 aliyejiunga na klabu hiyo ya nyumbani kwao mapema mwaka huu amesema amevunjika moyo na uchezaji wa timu yake.

    “Ninajisikia aibu,nimevunjika moyo kabisa  na uchezaji wetu mashabiki wana kila haki ya kuandamana na wakitaka kulaani na kutukana wana haki hiyo” Amesema Neymar baada ya mchezo huo.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA
    Next Article AHMED ALLY: TULIOWATANGAZA HAWAJATOSHA, BADO VYUMA VINAKUJA

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Web Development Company in Kochi,Kerala on August 19, 2025 3:48 pm

      I appreciate you sharing this blog post. Thanks Again. Cool.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.