Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MZIZE KULIPWA MSHAHARA MREFU YANGA SC
    KITAIFA

    MZIZE KULIPWA MSHAHARA MREFU YANGA SC

    ChikaoBy ChikaoAugust 26, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Yanga SC
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Clement Mzize kuna uwezekano mkubwa akabaki ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2025/26 na atakuwa anakunja mshahara mrefu kwa mwezi.

    Taarifa zilikuwa zinaeleza kuwa Mzize kuna timu ambazo zinahitaji huduma yake kutoka Ulaya jambo ambalo lilikuwa linasubiriwa ni kuisha kwa mashindano ya CHAN. Wakati mashindano yanaendelea Tanzania imeishia hatua ya robo fainali.

    Taarifa zinaeleza kuwa Mzize ambaye kwenye ligi alifunga mabao 14 akiwa mshambuliaji mzawa mwenye mabao mengi katika CHAN a2024 alifunga mabao mawili huenda hataondoka kwa ajili ya changamoto mpya atasalia Yanga SC.

    Mshambuliaji huyo inatajwa kuwa alikaa kikao na viongozi wa Yanga SC wakifikia makubaliano ya kuongeza mshahara wake na posho.

    Kwa mujibu wa chanzo cha Habari kutoka ndani ya Yanga, mshambuliaji huyo amefanyiwa maboresho ya mshahara wake ambao unafikia zaidi ya milioni 45 atakaoupata hadi msimu 2026/27.

    Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe alizungumzia hilo kwa kusema kuwa “Zipo ofa mbili kutoka ndani nan je ya Afrika zikimuhitaji Mzize, Uongozi unazipitia hivi sasa lakini ikumbukwe bado mchezaji wa Yanga hadi 2027.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYANGA KUKIPIGA DHIDI YA BANDARI YA KENYA
    Next Article JKT Queens njia nyeupe kufuzu CAF Women Champions League

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.