Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MSIMU MPYA WA LIGI KUU BARA KUANZIA SEPTEMBA 17, RATIBA IPO HAPA
    KITAIFA

    MSIMU MPYA WA LIGI KUU BARA KUANZIA SEPTEMBA 17, RATIBA IPO HAPA

    ChikaoBy ChikaoAugust 29, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kikosi Kamili cha Yanga 2025/26
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26 unatarajiwa kuanza rasmi Septemba 17, 2025 kwa michezo miwili ya ufunguzi.

    KMC FC wataikaribisha Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge  jijini Dar es Salaam, huku Coastal Union wakifungua pazia lao kwa kuvaana na Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

    Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Bodi ya Ligi (TPLB), msimu huu utamalizika Mei 23, 2026, ambapo bingwa mpya wa Ligi Kuu atajulikana.

    Msimu wa 2025/26 unatarajiwa kuwa na ushindani mkali zaidi, hasa ukizingatia maandalizi makubwa yaliyofanywa na vilabu vikubwa vya Kariakoo, Simba na Yanga, sambamba na Singida FG na Azam FC ambao wamekuwa na usajili kabambe.

    Ratiba kamili ya michezo inatarajiwa kutangazwa wiki ijayo, lakini tayari shauku kubwa imetanda kwa mashabiki wa soka nchini kuelekea msimu mpya.

             

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 29 AGOSTI 2025
    Next Article SIMBA SC YAMALIZANA NA BEKI MJESHI, KIPA WA CHAN

    Related Posts

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    April 7, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    MBAPPE: NITACHEZEA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.