Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MOROCCO KUKUTANA NA MOROCCO, KIVUMBI CHAN 2024
    KITAIFA

    MOROCCO KUKUTANA NA MOROCCO, KIVUMBI CHAN 2024

    ChikaoBy ChikaoAugust 18, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    TIMU ya Taifa ya Tanzania inayofundishwa na Kocha Mkuu, Hemed Suleman maarufu kwa jina la Morocco itacheza na timu ya taifa ya Morocco kwenye mchezo wa robo fainali CHAN 2024 Uwanja wa Mkapa.

    Tanzania inaongoza kundi B ikiwa na pointi 10 baada ya mechi nne ambapo katika mechi hizo ilipata ushindi mechi tatu na kugawana pointi mojamoja kwenye mchezo mmoja Uwanja wa Mkapa.

    Agosti 22 2025 wababe hawa wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

    Ikumbukwe kwamba Morocco ilikuwa Kundi A imegotea nafasi ya pili ikiwa na jumla ya pointi 9 baada ya kucheza jumla ya mechi nne katika CHAN 2024. Vinara wa kundi A ni  Kenya iliyokusanya jumla ya pointi 10 sawa na Tanzania.

    Morocco ambaye ni kocha wa Tanzania aliweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa hatua ya robo fainali na wanatambua kila kundi lilikuwa na timu ngumu.

    “Kila kundi lilikuwa na timu ngumu hivyo hatuna mashaka na mpinzani wetu. Niliwatazama Kenya, Morocco kila kundi.Kwenye hii michuano hakuna timu nyepesi. Tupo tayari kwa ajili ya kupambana na wachezaji wanatambua hatua inayofuata ni ngumu zaidi.”

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleFOUNTAIN GATE YAANDAA MICHUANO YA KIMATAIFA YA PRE SEASON
    Next Article CLEMENT MZIZE BADO ANA MKATABA NA YANGA

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.