Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MALI MPYA YA SIMBA NDIO NAHODHA WA TIMU YAKE YA TAIFA
    KITAIFA

    MALI MPYA YA SIMBA NDIO NAHODHA WA TIMU YAKE YA TAIFA

    ChikaoBy ChikaoAugust 8, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba amethibitisha kuwa mchezaji wao mpya ameanza kwenye kikosi cha timu yake ya Taifa katika mashindano ya CHAN na ndiye atakayekuwa Nahodha wa Taifa lake.

    “Mchezaji wetu mpya anaanza kwenye mechi ya Taifa lake na tena ndio nahodha…. Automatic hii timu yetu ya pii kushangilia kwenye CHAN”Ameandika Ahmed Ally.

    Ikumbukwe klabu ya Simba inatajwa kumalizana na mchezaji wa Mamelodi Sundowns Neo Maema ambaye ndiye Nahodha wa Afrika Kusini kwenye mchezo wa leo dhidi ya Algeria.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYANGA SC WAPO KAZINI, KUMSHUSHA WINGA WA KAZI
    Next Article LEO NDIO LEO, TANZANIA VS MADAGASCAR CHAN 2024 KWA MKAPA

    Related Posts

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    April 12, 2026

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.