Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป JONATHAN SOWAH KUIKOSA KARIAKOO DABI, UKWELI WOTE HUU HAPA
    KITAIFA

    JONATHAN SOWAH KUIKOSA KARIAKOO DABI, UKWELI WOTE HUU HAPA

    ChikaoBy ChikaoAugust 25, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Sowah
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    MSHAMBULIAJI mpya wa Simba SC raia wa Ghana, Jonathan Sowah anatarajiwa kuukosa mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga SC utakaopigwa Septemba 16 2025, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam.

    Mchezo huo wa Ngao ya Jamii ni maalumu kwa ajili ya kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika.

    Mshambuliaji huyo mpya Sowah hatocheza kutokana na kutumikia adhabu ya kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano kwenye fainali dhidi ya Yanga SC.

    Sowah alipata kadi hiyo nyekundu katika mchezo wa Fainali ya Kombe la CRDB ambao ulipigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar akiwa anaichezea Singida Black Stars kabla ya kutambulishwa Simba SC kuwa ingizo jipya na yupo na timu kambini Misri.

    Taarifa zinaeleza kuwa kiungo mshambuliaji mpya wa Simba SC, Neo Maema ambaye alitambulishwa Simba SC Agosti 21 2025 akitokea Mamelod Sundowns huenda akabeba mikoba yake kwenye mchezo huo.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYANGA SC YAANZA KUISOMA SIMBA SC KUELEKEA KARIAKOO DABI
    Next Article BUKAYO SAKA KUKAA NJE YA UWANJA WIKI NNE SABABU YA MAJERAHA

    Related Posts

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    April 7, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    MBAPPE: NITACHEZEA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.