Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » HATMA YA ATEBA KUSALIA SIMBA IMEKAA KWA NAMNA HII
    KITAIFA

    HATMA YA ATEBA KUSALIA SIMBA IMEKAA KWA NAMNA HII

    ChikaoBy ChikaoAugust 19, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    INAELEZWA kuwa kuna uwezekano mkubwa mshambuliaji wa Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids huenda akaachwa katika kikosi hicho kuelekea msimu mpya.

    Simba SC inatajwa kuwa kwenye mazungumzo ya kuachana na mshambuliaji huyo raia wa Cameroon, Lionel Ateba kutokana na kutoridhishwa na mwendo wake msimu uliopita.

    Inaelezwa kuwa mshambuliaji huyo anajiandaa kuondoka kambini Cairo, Misri ambako kikosi hicho kimeweka kambi ya kujiandaa na msimu mpya.

    Ipo wazi kwamba msimu wa 2024/25 Ateba alifunga jumla ya mabao 13 kwenye ligi ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora kati ya mabao 69 yaliyofungwa na timu hiyo iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi.

    Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally alisema kuwa “Taarifa rasmi ya klabu ya kutangaza wachezaji tutakaoachana nao na wapya hivi karibuni itatolewa,”.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRASMI HII HAPA TAREHE YA SIMBA DAY 2025
    Next Article PITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 19 AGOSTI 2025

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.