Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป Fenerbahce yamfuta kazi Jose Mourinho
    KIMATAIFA

    Fenerbahce yamfuta kazi Jose Mourinho

    ChikaoBy ChikaoAugust 29, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Fenerbahce
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Klabu Fenerbahce wameamua kumfuta kazi kocha wao Jose Mourinho. Klabu hiyo ya Uturuki imeamua kuachana na Mourinho ikiwa ni siku mbili baada ya klabu hiyo kuondolewa na Benfica katika mchujo wa Ligi ya Mabingwa.

    Meneja huyo wa zamani wa Chelsea, Manchester United, na Tottenham alijiunga na Fenerbahce msimu wa joto wa 2024, miezi sita baada ya kutimuliwa na Roma.

    Aliiongoza timu hiyo kumaliza katika nafasi ya pili msimu uliopita lakini akashindwa kupata taji lolote.

    Fenerbahce ilifungwa 1-0 na Benfica katika mchezo wa mkondo wa pili wa mchujo wa kuwania kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleDABI YA KARIAKOO KUCHEZWA DECEMBER 13
    Next Article YANGA SC KAMILI, MASHINE SITA ZAANZA KAZI

    Related Posts

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    April 17, 2026

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    April 16, 2026

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    April 7, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.