Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » AZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA MECHI DHIDI YA APR FC
    KITAIFA

    AZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA MECHI DHIDI YA APR FC

    ChikaoBy ChikaoAugust 19, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    azam
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    AZAM FC wakiwa nchini Rwanda ambapo wameweka kambi wanatarajiwa kushiriki michuano ya Inkera Y’abahizi baada ya kualikwa na wenyeji wao APR FC na leo Agosti 19 2025 watakuwa na kibarua kuhesabu mechi nne za ushindani.

    Ipo wazi kwamba Azam FC inapeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa ikiwa ni katika Kombe la Shirikisho na inashiriki Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika.

    Leo Azam FC inatarajiwa kucheza na Police FC, mechi ya pili itakuwa dhidi ya AS Kigali Agosti 21, watakutana na wenyeji APR, Agosti 24 2025.

    Kete ya nne kukamilisha dakika 360 kwa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Florent Ibenge inatarajiwa kuwa dhidi Vipers ya Uganda Agosti 29 2025.

    Timu hiyo imefanya usajili mkubwa kuelekea msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika kikosi hicho ni Sadio Kanoute ambaye aliwahi kucheza Simba SC, Fofana ambaye ni kipa na Barakat hawa wote wamesaini dili la miaka miwili.

    Azam FC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 19 AGOSTI 2025
    Next Article MAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.