Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » USIKIE MKWARA WA YANGA KUHUSU DIRISHA HILI LA USAJILI?
    KITAIFA

    USIKIE MKWARA WA YANGA KUHUSU DIRISHA HILI LA USAJILI?

    ChikaoBy ChikaoJuly 20, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kwamba kazi inaanza kwenye usajili kwa kuwa kuna wachezaji wengine wa maana watatambulishwa hivi karibuni.

    Mpango mkubwa wa Yanga SC ulikuwa ni kufungua ukurasa Julai 22 kutambulisha wachezaji wapya ila ngoma ilibadilishwa hewani baada ya kufungua ukurasa rasmi Julai 18.

    Ni Moussa Conte alitambulishwa na Yanga SC ikiwa ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa Yanga SC ambao ni mabingwa wa ligi kuelekea msimu wa 2025/26.

    Ali Kamwe ameweka wazi kuwa huo ni mwanzo watatambulisha wachezaji wengine wakubwa na wenye uwezo ili kuendelea pale ambapo waliishia msimu wa 2024/25.

    “Huu ni mwanzo, niliona kwamba wanasema wamekamilisha usajili wa mchezaji fulani, tunasubiri tuone itakuaje huko kwao. Ambacho tumekifanya ni mwanzo tu kazi bado inaendelea.”

    Mchezaji huyo Conte alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Simba SC walipishana naye inatajwa kwenye upande wa dau akasaini Yanga SC.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSIMBA WA AHAHIDI KUFANYA KWELI KWENYE USAJILI
    Next Article TETESI: KAPOMBE BADO YUPO SANA SIMBA, AMWAGA WINGO UPYA

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.