Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » SIMBA WA AHAHIDI KUFANYA KWELI KWENYE USAJILI
    KITAIFA

    SIMBA WA AHAHIDI KUFANYA KWELI KWENYE USAJILI

    ChikaoBy ChikaoJuly 20, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    tetesi za usajili simba 2025/26
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    UONGOZI wa Simba SC umebainisha kwamba utafanya kweli kwenye usajili hivyo mashabiki wasiwe na presha mipango inaendelea.

    Ikumbukwe kwamba timu hiyo msimu wa 2024/25 ilikosa mataji yote iliyokuwa inayapambania jambo ambalo linawafanya waje na hasira zaidi. Miongoni mwa wachezaji ambao wanatajwa kuwa katika rada za Simba SC ni Feisal Salum wa Azam FC.

    Kwenye ligi ilimaliza ikiwa nafasi ya pili baada ya kucheza mechi 30. Katika dakika 2,700 uwanjani ushindi ulikuwa katika mechi 25, sare tatu na ilipoteza mechi mbili. Mechi zote mbili ambazo ni dakika 180 ilikuwa dhidi ya Yanga SC ambao ni mabingwa wa ligi inayodhaminiwa na NBC.

    Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba SC 0-1 Yanga SC. Mzunguko wa pili ilikuwa Yanga SC 2-0 Simba SC. Ni mabao matatu Yanga SC walifunga mbele ya Simba SC iliyokosa kuvuna pointi kwenye Kariakoo Dabi.

    Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa kuna kazi kubwa ambayo inafanywa na viongozi mashabiki wawe na subira.

    “Viongozi wanafanya kazi kubwa kwa ajili ya kufanya usajili makini na mazuri hivyo mashabiki wawe na subira tutakuwa na furaha hakika.”

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAVAMBO AMALIZA SAFARI YAKE SIMBA SC, ATOA UJUMBE WA KUAGA
    Next Article USIKIE MKWARA WA YANGA KUHUSU DIRISHA HILI LA USAJILI?

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.