Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » SIMBA SC BADO IPO KWENYE MCHAKATO WA KUJENGA KIKOSI
    KITAIFA

    SIMBA SC BADO IPO KWENYE MCHAKATO WA KUJENGA KIKOSI

    ChikaoBy ChikaoJuly 15, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    SIMBA SC iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC 2024/25 bado ipo kwenye mchakato wa kuendelea kujenga kikosi.

    Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 ndani ya ligi namba nne kwa ubora bingwa ni Yanga SC akitwaa taji la 31 chini ya kocha Miloud Hamdi ambaye hatakuwa katika kikosi hicho kwa msimu wa 2025/25.

    Kwa mujibu wa Rais wa Heshima wa Simba SC, Mohamed Dewji maarufu kwa jina la Mo amebainisha kuwa msimu uliopita haukuwa mwepesi ulikuwa na changamoto nyingi lakini wanaendelea kuimarika taratibu.

    “Msimu uliopita haukuwa mzuri kwetu na haukuwa rahisi. Tumepitia mengi na tunaamini kwamba bado tunajipanga upya kwa msimu ujao.

    “Sisi bado tupo kwenye mchakato wa kujenga kikosi upya ambapo tulianza kazi hiyo msimu ambao umekwisha bado hatujafanikiwa kufikia malengo yetu hivyo tunaendelea kujenga kikosi upya.

    “Tumefanikiwa kupelekea timu kwenye fainali ya Afrika mara mbili licha ya kwamba hizo zote tulishindwa kupata ushindi hii inaonyesha bado tunazidi kupanda. Timu yetu ipo nafasi ya tano Afrika na malengo makubwa ni kuona kwamba tunaleta ubingwa wa Afrika.”

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRULANI MOKWENA ATIMKUA LIGI KUU YA ALGERIA KUINOA MC ALGER
    Next Article YANGA YAIPIKU SIMBA KWENYE KUINASA SAINI YA KIUNGO HUYU

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.