Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » KIUNGO YANGA SC KUIBUKIA SINGIDA BLACK STARS
    KITAIFA

    KIUNGO YANGA SC KUIBUKIA SINGIDA BLACK STARS

    ChikaoBy ChikaoJuly 30, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    yanga
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    INAELEZWA kuwa nyota wa zamani wa Yanga SC, Clatous Chama anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Singida, Singida Black Stars inayotumia Uwanja wa Liti.

    Chama aliwahi kucheza Simba SC kabla ya kuibukia ndani ya Yanga SC msimu wa 2024/25 akiwa mchezaji huru na hakuwa na nafasi kikosi cha kwanza kutokana na uwepo wa Aziz KI.

    Taarifa zinaeleza kuwa Yanga SC hawana mpango na Chama mara baada ya mkataba wake kuisha hivyo atasajiliwa na Singida Black Stars akiwa mchezaji huru.

    Chama alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Azam FC na Zesco United ambapo huko alikuwa anafanya mazoezi licha ya kwamba hajasaini.

    Singida Black Stars kwa sasa inanolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ambaye aliwahi kufanya kazi na Chama katika kikosi cha Yanga SC.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSOKA LA LAMINE YAMAL, CHACHU YA KUWAKUTANISHA WAZAZI
    Next Article BAADA YA CHE MALONE KUAGWA SIMBA SC, HUYU NDIO MRITHI WAKE

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.