Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป FEI TOTO RASMI KUCHEZA TIMU HII MSIMU WA 2025/2026
    KITAIFA

    FEI TOTO RASMI KUCHEZA TIMU HII MSIMU WA 2025/2026

    ChikaoBy ChikaoJuly 16, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    FEISAL Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC kuna asilimia ndogo kuondoka kwenye viunga hivyo kutokana na dau ambalo mabosi wamemuongezea kuelekea msimu wa 2025/25.

    Taarifa zilikuwa zinaeleza kuwa kiungo huyo asilimia kubwa ataondoka hapo na timu ambayo ilikuwa inatajwa kwa ukaribu ilikuwa ni Simba SC.

    Mkataba wake na Azam FC ni mwaka mmoja umebaki hivyo atautumia wote kuwa hapo msimu ujao. Simba SC inatajwa kuwa jitihada za kumpata mchezaji huyo zimegonga mwamba.

    Rekodi zinaonyesha kuwa Feisal ni kiungo namba moja kwenye kutengeneza pasi nyingi ambazo ni 13 za mabao. Pasi yake ya kwanza alitoa kwenye mchezo dhidi ya KMC FC alimpa mshikaji wake Idd Nado.

    Ni mabao manne alifunga msimu wa 2024/25 hivyo kahusika kwenye mabao 17 kati ya 56 yaliyofungwa na timu hiyo iliyomaliza ligi ikiwa nafasi ya tatu na pointi 63. Baada ya kucheza mechi 30 ambazo ni dakika 2,700 alianza kikosi cha kwanza mechi 26.

    Hivi karibuni, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano, Azam FC, Thabit Zakaria aliweka wazi kuwa Feisal atakuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2025/26.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMWAMBA HUYU WA KAZI KUSAINI YANGA SC
    Next Article ISHU YA AUCHO NA YANGA YAFIKIA HAPA KWA SASA

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.