Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » AS FAR RABAT YAAGANA RASMI NA HENOCK INONGA BAKA
    KIMATAIFA

    AS FAR RABAT YAAGANA RASMI NA HENOCK INONGA BAKA

    ChikaoBy ChikaoJuly 28, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Aliyekuwa beki tegemeo wa Simba SC, Henock Inonga Baka, ameaga rasmi klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco baada ya kuitumikia kwa msimu mmoja pekee.

    Kupitia taarifa rasmi ya klabu hiyo, AS FAR imeuthibitisha kuachana na beki huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa heshima na shukrani kwa mchango wake katika kikosi hicho.

    Inonga alijiunga na AS FAR Rabat msimu wa 2024/2025 akitokea Simba SC ya Tanzania, ambako alikuwa nguzo muhimu katika safu ya ulinzi na mmoja wa wachezaji waliopendwa zaidi na mashabiki.

    “Tunamshukuru Henock Inonga kwa huduma yake ndani ya kikosi chetu na tunamtakia kila la heri katika hatua inayofuata ya maisha yake ya soka,” ilisomeka sehemu ya taarifa ya klabu hiyo.

    Hadi sasa, haijafahamika rasmi ni timu gani inayomuwinda au iwapo atarejea kucheza Afrika Mashariki, ingawa mashabiki wa Simba SC wameendelea kuonyesha matarajio ya kumuona akirudi Msimbazi.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATATU TAREHE 28-7-2025
    Next Article UBINGWA WA CECAFA WALETA MATUMAINI KUELEKA CHAN, MWANA FA AFUNGUKA

    Related Posts

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    April 7, 2026

    MBAPPE: NITACHEZEA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON

    April 4, 2026

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    March 25, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    MBAPPE: NITACHEZEA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.