Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป AHMED ALLY ATHIBITISHA BALLA CONTE LIKUWA KWENYE MIPANGO YA FADLU
    KITAIFA

    AHMED ALLY ATHIBITISHA BALLA CONTE LIKUWA KWENYE MIPANGO YA FADLU

    ChikaoBy ChikaoJuly 20, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally ameandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwatuliza mashabiki wa Simba huku akithibitisha kuwa ni kweli kiungo Moussa Balla Conte aliyetambulishwa na wapinzani wao usiku wa leo alikuwa kwenye orodha ya kocha Fadlu.

    “Wana Simba hakuna sababu ya kujisikia unyonge na wala tusijitie presha.Hii sio hadithi ya sizitaki mbichi hizi bali uhalisia wa jambo lenyewe.
    tetesi za usajili simba 2025/26

    “Iko hivi kwenye ripoti za Makocha hua kuna orodha ya majina mengi ya Wachezaji wanaopendekezwa
    Ni kweli jina la mchezaji huyo lilikuwa kwenye orodha ya Kocha wetu kama yalivyokua majina mengine mengi Afrika nzima

    “Wakati tunashiriki mashindano ya kimataifa kila mchezaji mzuri Mwalimu aliorodhesha jina lake na baadae kuyapanga kulingana na ubora wa mchezaji husika.

    “Bahati mbaya au nzuri katika majina yote pendekezwa jina la mchezaji huyu ndio limekua maarufu baada ya kuzungumzwa sana kwenye mitandao.

    “Umaarufu huo ukapelekea interest ya vyombo vya habari, na kuteka hisia za mashabiki.

    “Lakini kiufundi hakuna tulichopoteza kwa sababu kweye orodha yetu wapo wachezaji bora sana kwenye eneo hilo tena waliopendekezwa na Mwalimu mwenyewe ambao ni chaguo la kwanza la pili na la tatu

    “Tusitetereke ngome yetu ya usajili haijatikiswa hata kidogo
    Muda wa utambulisho mtanielewa na kazi watakazofanya mtafurahi na mtakubali”.Ameandika Ahmed Ally.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleCHE MALONE KUTIMKIA LIGI KUU YA ALGERIA
    Next Article BELLINGHAM ASHUKURU MADAKTARI KUFANIKISHA UPASUAJI

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.