Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป MBEBA MIKOBA YA CHAMA KWENYE MTEGO SIMBA SC
    KITAIFA

    MBEBA MIKOBA YA CHAMA KWENYE MTEGO SIMBA SC

    ChikaoBy ChikaoJune 29, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    KIUNGO wa Simba SC, Deborah Mavambo ambaye ni ingizo jipya katika kikosi hicho kwa msimu uliogota mwisho wa 2024/25 yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na kiwango chake kuporomoka mwanzo mwisho.

    Nyota huyo kwenye mechi za awali alianza kuonyesha ubora wake lakini kadri siku zilivyokuwa zinazidi uwezo wake ulikuwa unaporomoka. Atakumbukwa kwenye mchezo wa Simba Day, jina lake liliimbwa kutokana na kiwango bora katika matumizi ya nguvu kwenye mguu wake wa kulia.

    Ni jezi namba 17 alikabidhiwa ambayo ilikuwa inavaliwa na kiungo Clatous Chama ambaye yupo ndani ya Yanga SC kwa msimu wa 2024/25. Mavambo alikuwa anapewa nafasi kufanya vizuri kitaifa na kimataifa mwisho akajenga ushikaji na benchi.

    Mchezo wa mwisho wa Kariakoo Dabi, dhidi ya Yanga SC Juni 25 2025 hakupata nafasi yakucheza mchezo huo jambo ambalo linaonyesha kuwa ni mtego kwake.

    Taarifa zinaeleza kuwa kuna wachezaji ambao watakutana na Thank You ndani ya kikosi cha Simba SC kutokana na kushindwa kuwa katika ubora huku jina la Mavambo likitajwa.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleOFISA HABARI WA AZAM FC ANALITAKA JIMBO
    Next Article SIMBA SC YASAKA KIPA KUMPA CHANGAMOTO CAMARA

    Related Posts

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    April 7, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    MBAPPE: NITACHEZEA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.