Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป MZIZE RASMI KUSEPA KWENYE TIMU HII HAPA
    KITAIFA

    MZIZE RASMI KUSEPA KWENYE TIMU HII HAPA

    ChikaoBy ChikaoMay 24, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    mzize
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    BAADA ya kiungo mshambuliaji wa Yanga SC Aziz Ki taarifa kueleza kuwa anaondoka ndani ya kikosi hicho kuelekea Wydad inaelezwa kuwa kuna nyota mwingine tena anaondoka katika kikosi hicho.

    Aziz Ki amekuwa kwenye mwendo mzuri ndani ya Yanga SC akiwa kacheza jumla ya mechi 114 na kutoa pasi 57 za mabao huku akifunga jumla ya mabao 32.

    Ni Clement Mzize chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Zamalek ambao wanahitaji kupata huduma yake.

    Mshambuliaji huyo kafunga jumla ya mabao 13 kwa msimu wa 2024 kwenye ligi akiwa ni mzawa namba moja mwenye mabao mengi.

    Mbali na Zamalek inaelezwa kuwa mabosi wa Kaizer Chiefs wanahitaji huduma ya mshambuliaji huyo ambaye mguu wakwe wenye nguvu ni ule wa kulia na bao lake la kwanza msimu wa 2024/25 alifunga mbele ya Kagera Sugar, Uwanja Kaitaba ambapo alianzie benchi kwenye mchezo huo.

    Alipachika bao la pili akitumia pasi ya kiungo mshambuliaji Aziz Ki baada ya dakika 90 ubao ukasoma Kagera Sugar 0-2 Yanga SC.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYANGA SC NA SIMBA SC MAMBO MAGUMU KWENYE LIGI 2024/25
    Next Article JUMAPILI IMEFIKA YA JAMBO ZITO LA KITAIFA

    Related Posts

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    April 12, 2026

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.